July 25, 2010

Ndani ya Shy,

Ndo tumewasili Shinyanga ama wenyewe waniita "Shy",
Japokuwa ndivyo wamezoea kuiita hivyo lakini nathani pana tatizo na hilo jina, kwa wanamuonea nani aibu hasa? wanaopora Almasi zetu au nani? nathani pana tatizo, panapomajariwa mara nipatapo full mkanda basi utawekwa hadharani, tuombe uhai.
Ratiba ilikuwa tuende kwa watani zangu "mapanga shaaa" lakini kutokana na sababu za kiufundi zaidi imebidi tuje hapa, bila shaka tutapata ushirikiano wa kutosha kama wa ndugu zao Mwanza.
Lets hope for the best.

No comments:

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...