"Jua lilee literemke mamaaa, mwezi naoo utelemkee mamaaa haiyahiyaa hiyaa hiyaaa mamaaaa.............."
Je wakumbuka nyimbo gani za mchakamchaka za enzi zile? au ni nini wakumbuka katika miaka ya sabini na themanini shule za msingi na sekondari? Wakti ule tulikuwa ukifika shule tu mwakimbia mchakamchaka na kuimba nyimbo kibao hivi bado yafanyika hayo?? Nakumbuka wakti tuko Sekondari Jite Best kulikuwa na mwalimu mmoja anaitwa GB alikuwa anakuja saa kumi na nusu na kugonga kengere na kiboko mkononi, ole wako ubakie bwenini ujifanye ujasikia, hizo bakora zake ni balaa, hivi vingalipo hivi??
Mazingaombwe mwayakumbuka??? wale wakongo walikuwa wanajifanya wanatengeneza pesa, vitambaa, kalamu, NK na ilikuwa unalipa kiingilio na mwatangaziwa shule nzima siku hiyo HAKUNA MASOMA, hivi waliishiaga wapi wale??
Mdau ni kitu gani wakumbuka???
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH

The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
WINNERS Boulevard.: Biashara ya Masoko ya Mtandao : Fikiria kama ungekuwa walipwa kwa kila ushauri wa kutumia huduma ama bidhaa ya kampuni a...
-
Umati wa watu unaozidi kufurika huko Loliondo kwa dhumuni moja tu, kupata dawa ambayo inaaminika inatibu magonjwa sugu ama yaliyoshin...
-
Kina dada wengi hivi sasa imekuwa ni kawaida kwenye kila shughuri hasa za usiku kukuta wamevaa nguo fupi, wengi wanasema ni fashion...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
The Edmark Double Bonus Marketing Plan consists of both the Point Sharing System and the Block System. Thus, giving maximum benefits ...
-
The Himba are an ethnic group of about 20,000 to 50,000 people living in northern Namibia, in the Kunene region (formerly K...
-
Shibe inapoua kuliko njaa Obesity kills more people than hunger Most of the world's populations live in countries where overweight a...
-
Katika ajali hii kulikuwa na Shemeji yangu mke wa mdogo wangu Crispin Kagimbo, Ms Amina Ali pamoja na watoto wawili, Collin (1) na Micha...
-
Pinda ataka jino kwa jino Ni jinsi gani mauaji haya ya ndugu zetu hawa yanapokukele hata kufikia kiongozi kutoa amri ambayo yaweza onekana...
4 comments:
Imebidi nicheke maana umenikumbusha mbali,yaani huwa nikifikiria heka heka hizo za mchakamchaka na kadhalika najiuliza hivi tuliwezaje kusoma hizo shule na kuzimaliza?! Kweli jitahada na uvumilivu ni vitu muhimu!
Hata mimi nimecheka sana kwa kufurahi kuona bado kuna watu wanakumbuka nyimbo hizi. Ngoja nami nimekumbuka hii Iddi amin akifa mimi siwezi kulia nitamtupa Kagera awe chakula cha mamba
Sio siri umenikumbusha mbali saaaana yaani hakuna kitu nilikuwa sipendi ka mchakamchaka saa kumi na moja na kiwinta cha Moshi, yaani we acha tu.
Panda mlima panda, panda.... Si mchezo ilikuwa safi lakini. Ndhani shele za mijini mchaka mchaka hakunaga tangu siku hizo
Post a Comment