August 21, 2007

Ikulu yajibu, Lile sakata la kusaini mkataba aliloliibua Zitto Kabwe bado bichi, sasa Ikulu yakili kwamba Rais hakujua na kwamba si lazima ajue kama mwandishi wake anavyonukuliwa ktk gazeti la leo la Habari Leo.Nini hatima ya hayo yote???????? tusubiri kwani subira yavuta kheri, na pia Mhe JK anatarajiwa kuzuru huko mgodini wiki hii, Je nini kitajitokeza? na ukweli hasa ni upi? TIME WILL TELL!

2 comments:

Anonymous said...

MZEEE KAZI YAKOO KUBWA ' TUNASHUKURU KWA KUTUPA HABARI MOTOMTOOOOO..

Anonymous said...

BONGOPIX HEBU TUSHUSHIE PICHA JK SHINYANGA LEO TUMSIKIA WATU WAMELALA BARABARANI..
.KAZIIII NZURI MZEEEE
MDAU WAKO WA KONGO

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...