September 24, 2009

Mbagala kwalipuka tena!! wawili wafariki dunia

Mpiga picha wa Nipashe Selemeni Mpochi akipata snap za majeruhi huko Mbagala.

Watoto wawili wamefariki dunia na wengine kadhaa kujeruhiwa baada ya mabomu kulipka tena huko mbagala kizuiani karibu na kambi ya jeshi leo asubui, waliofariki wametambuliwa kuwa ni Regina Chalawa (6) na Rajabu Said (6).
Siku kadhaa zilizopita alipata kunukuliwa Mnadhimu Mkuu wa Jeshi Luteni Jenerali A Shimbo akisema kuwa Mbagala si sehemu salama tene kuishi kwani mabomu hayajaisha, lakini wanasiasa hawakumwelewa na walisisitiza kuwa fidia hizo zitoilewazo na serikali na kwa waadhirika hao kuendeleza makazi mahali hapo, matokeo ni nini???

1 comment:

Yasinta Ngonyani said...

Poleni tena kwa mara nyingine. Bongo Pix umepotelea wapi ninakotoka mie watu huwa wanaoga:-)

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...