May 1, 2009

Mabomu- waliokufa idadi yaongezeka

IDADI ya watu waliokufa katika milipuko ya mabomu iliyotokea Jumatano iliyopita kwenye kambi ya maghala ya silaha ya Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) Mbagala Kizuiani, Dar es Salaam, imeongezeka hadi watu 19.
Hospitali ya Temeke hadi jana ilithibitisha kupokea maiti 13 raia wanaotokana na tukio hilo na kati yao tisa ni watoto ambao miili yao iliokotwa Mto Mzinga, Mbagala.

No comments:

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...