May 25, 2009

CCM yaibuka kidedea Busanda

Mbunge mpya wa Jimbo la Busanda Lolensia Bukwimba,
Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Bukwimba Dan Mollel ametangaza matokeo rasmi ambapo mgombea wa CCM ameibuka kidedea
matokeo ni kama ifuatavyo:
Waliojiandikisha kupiga kura ni 135,000 na ushee
Waliojitokeza kupiga kura  55,000 na ushee
CCM wamepata kura...............29,242
CHADEMA..................22,000 na ushee..
UDP.......................607
CUF......................... 271. 
HAH HAH HABARI NDO HIYO

1 comment:

Anonymous said...

Waliojiandikisha kupiga kura ni 135,000 na ushee
Waliojitokeza kupiga kura 55,000 na ushee
CCM wamepata kura...............29,242
CHADEMA..................22,000 na ushee..
UDP.......................607
CUF......................... 271.

TAKWIMU HIZI ZINAMAANISHA NINI KWA DEMOKRASIA NCHINI?

KATI YA WATU 135, 000 wanajitokeza 55,000 tu yaani zaidi ya asilimia 60 hawakupiga kura??

Ni elimu ndogo au kuna mushkeri hapa???

SIPATI PICHA KABISAAAAAA

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...