Hii ni DECI au Desimali?
Je nnani mkweli ktk hili kati ya BOT, Soko la Mitaji CMSA, VIONGOZI wa DECI na wanaodai ni WANUFAIKA? Lakini zaidi ni nani antuongopea (anawaongopea) au hatwambii ukweli hapa?
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
At least 32 people have been killed in multiple explosions after an accident at a munitions dump in Tanzania's commercial capital, Dar e...
-
WADAU NADHANI SI VIBAYA SIKU MOJA MOJA TUKAPANUA MAWAZO KIDOGO NDO NAMNA YA KUELIMISHANA KUPITIA NJIA HII. HIKI ni kijiji kipo hapa bo...
-
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kivukoni-Kinondoni leo imeamua mazishi ya mwili wa Marehemu Paulo Goliama aliyefariki wiki iliyopita yafany...
-
Skandali ya BOT yazidi kuchemka.... NITOKE VIPI?????? BOT SAGA, MEGHJI AJIVUA.......... Meghji: I was duped by governor Ballali -Minist...
-
Kina dada wengi hivi sasa imekuwa ni kawaida kwenye kila shughuri hasa za usiku kukuta wamevaa nguo fupi, wengi wanasema ni fashion...
-
Edmark International founder, Chief Executive Officer and Chairman. Edmark Tanzania welcomes all entrepreneurs, business people a...
-
Mgonjwa wa saratani akipata huduma Ocean Road Cancer Insititute (ORCI) asubuhi leo hii baada ya kununuliwa kwa vifaa vilivyokuwa vimeibwa y...
2 comments:
Umenifurahisha kwa swali lako eti ni Deci au Desimali. Unajua desimali ni alama ya ajabu. Ukiiweka upande wa kulia haina neno lakini ukianza kuiweka upande wa kushoto inaweza kugeuza bilioni moja na kuwa "vijisenti" tu. Soma riwaya ya nzuri ya Siri ya Sifuri utaona. Swali lako hili limenivutia sana ingawa sijui kwa undani hili sakata la DECI...Mimi ni mdau mzuri sana wa blogu yako na asante kwa kazi nzuri.
Mkuu, umenifurahisha sana kwa swali lako la Deci na Desimali. Desimali ni alama ya ajabu na inategemea na wapi unapoiweka. Ukiiweka kulia kwa namba basi haina neno lakini ukiiweka upande wa kushoto inaweza kugeuza mabilioni na kuwa "vijisenti' tu. Soma Riwaya nzuri iitwayo Siri ya Sifuri utaona. Sijui kwa undani hili sakata la DECI lakini nimekunwa na swali lako hilo chokonozi. Mimi ni mdau mkubwa wa blogu hii na asante sana kwa kutujuvya mambo ya Bongo. Endeleza libeneke!
Post a Comment