Hii ni DECI au Desimali?
Je nnani mkweli ktk hili kati ya BOT, Soko la Mitaji CMSA, VIONGOZI wa DECI na wanaodai ni WANUFAIKA? Lakini zaidi ni nani antuongopea (anawaongopea) au hatwambii ukweli hapa?
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576
Popular Posts
-
Nimekuta ubishi paala fulani tena kwa watu naweza sema ni waelewa kiasi fulani maana wameenda shule na wengine wako katika fani, ati ile ho...
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Kina dada wengi hivi sasa imekuwa ni kawaida kwenye kila shughuri hasa za usiku kukuta wamevaa nguo fupi, wengi wanasema ni fashion...
-
Mineral occurrence in Tanzania by TMAA UONGEZAJI WA PATO LA MTANZANIA Mheshimiwa Spika, 46. Lengo la Dir...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
DC AAMURU WALIMU WACHARAZWE VIBOKO MKUU wa Wilaya ya Bukoba, Albert Mnali, ameacha maswali miongoni mwa walimu baada ya kufanya ...
-
At least 32 people have been killed in multiple explosions after an accident at a munitions dump in Tanzania's commercial capital, Dar e...
-
Jessica is recognized internationally as an inspirational keynote speaker. Born without arms, Jessica now flies airplanes, drives c...
-
Invitation Photography Areas/Maeneo Thursday 17 th June/7 pm/Goethe-Institut Goethe-Institut presents Areas/Maeneo a platform for friend...
2 comments:
Umenifurahisha kwa swali lako eti ni Deci au Desimali. Unajua desimali ni alama ya ajabu. Ukiiweka upande wa kulia haina neno lakini ukianza kuiweka upande wa kushoto inaweza kugeuza bilioni moja na kuwa "vijisenti" tu. Soma riwaya ya nzuri ya Siri ya Sifuri utaona. Swali lako hili limenivutia sana ingawa sijui kwa undani hili sakata la DECI...Mimi ni mdau mzuri sana wa blogu yako na asante kwa kazi nzuri.
Mkuu, umenifurahisha sana kwa swali lako la Deci na Desimali. Desimali ni alama ya ajabu na inategemea na wapi unapoiweka. Ukiiweka kulia kwa namba basi haina neno lakini ukiiweka upande wa kushoto inaweza kugeuza mabilioni na kuwa "vijisenti' tu. Soma Riwaya nzuri iitwayo Siri ya Sifuri utaona. Sijui kwa undani hili sakata la DECI lakini nimekunwa na swali lako hilo chokonozi. Mimi ni mdau mkubwa wa blogu hii na asante sana kwa kutujuvya mambo ya Bongo. Endeleza libeneke!
Post a Comment