January 27, 2009

Liumba na Kweka wapanda kizimbani.

Amatus Liumba Deogratius Kweka. Watuhumiwa Amatus Liumba na Deo Kweka waliokuwa watumishi wa BOT wamepandishwa kizimbani kujibu tuhuma za matumizi mabaya ya ofisi na kuisababishia hasara serikali zaidi ya Bilioni 220 TZS na ushee. Wamepelekwa rumande baada ya kushindwa masharti ya dhamana ikiwapo kila mmoja kuweka dhamana ya bilioni 50 TZS.

1 comment:

Anonymous said...

jamani huyo Liyumba si ndio walikuwa wasema anavirusi na alikuwa anasambaza kwa wakinadada kwa kuhonga magari mekundu? mbona kachoka sana, au ndo afya imekua na migogoro sikuizi?

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...