October 7, 2008

THE UTAMU BLOG "MARIGIO" BYE BYE

Habari zilizotufikia ainasema kwamba Ile blog iliyokuwa inawanyima watu wengi raha iitwayo theutamu IMEFUNGIWA RASMI na bado anafuatiliwa kwa karibu na mpaka sasa imeshajulikana mwanzilishi yuko Tanzania na anashirikiana na wawili mmoja akiwa UK na mwingine US. Kibaya zaidi ni kuwa wote waliotuma barua pepe kwenda kwenye email ya utamu wako recorded na wanafuatiliwa kwa ukaribu kabisa. Watanzania wametahadharishwa waache kutumia blogs kuchafuana bila ushahidi wowote,Epuka kutuma barua pepe huko ukidhani hutojulikana...! uknet.

No comments:

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...