October 7, 2008

Happy birthday 2 u............

JK akikata keki ya birth day. Rais JK akimlisha keki mtoto Mohamed wakati wa hafla fupi ya kusherekea miaka 58 ya kuzaliwa kwake iliyoandaliwa na wafanyakazi wa ikulu ya Dar es Salaam leo.Mtoto Mohamed ni yatima ambaye Rais Kikwete na Mkewe Mama Salma wanamlea katika familia yao.
Katibu mkuu ikulu Bwana Michael Mwanda akimpa kadi ya Birthday Rais Jakaya Mrisho Kikwete kwa niaba ya ya wafanayakazi wa ikulu wakati wa hafla fupi ya kumpongeza Rais Kikwete kwa kutimiza miaka 58 leo.

1 comment:

MARKUS MPANGALA said...

ebwana bonge la ujiko yaani mimi sijawahi kufanya hivi katika maihs yangu. natamani sana kupata mwaliko wa kiongozi kama huo kwani najua kuna kula kula ukizingatia mimi na kulakula damudamu. kila la heri mtoto jakaya wa bwagamoyo bagamoyo ila mshikaji naye yupo katika hizo ebwa enee

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...