Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576
Popular Posts
-
At least 32 people have been killed in multiple explosions after an accident at a munitions dump in Tanzania's commercial capital, Dar e...
-
KASHFA YA RICHMOND YAPELEKEA Lowassa kujiuzuru, hii ina maana gani wapendwa? je na baraza zima limepigwa chini au niaje? Pichani juu ak...
-
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Ali Mohamed Shein na Mkewe Mama Mwanamwema Shein, wakiangalia uandaaji wa huduma mbali...
-
Wiki moja tu baada ya serikali kutangaza kuanza kutoza ushuru kwa mashirika ya Dini wakti ikiwasilisha bajeti ya Mwaka 2009/10 Waziri Mkuu M...
-
Mgombea wa CCM Oscar Mukasa akipiga kura. Matokeo ya awali ya uchaguzi mdogo wa Biharamulo yanaonesha mchuano mkali sana kati ya CCM na CH...
-
MGOMO WANUKIA TAZARA Wafanyakazi wa TAZARA kupitia chama cha wafanyakazi wa reli leo wametangaza mgogoro na uongozi wakidai kulipwa mishahar...
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
WADAU NADHANI SI VIBAYA SIKU MOJA MOJA TUKAPANUA MAWAZO KIDOGO NDO NAMNA YA KUELIMISHANA KUPITIA NJIA HII. HIKI ni kijiji kipo hapa bo...


3 comments:
Heshima kwako Kaka. Kama magari yamekaa bandarini kwa zaidi ya miaka 10 tayari ni hasara. Na sioni kwanini wasiya-crush maana sio tu yameshapungua kiwango kiasi cha kutisha, lakini hayafai tena kwenye masuala ya usalama wa abiria na mazingira. Kumbuka ni miaka 10 bila matengenezo yakiwa yameegeshwa bandarini ambako chumvi humung'unya vyuma vyake hivyo hata kama yataonekana kuwa Ok kwa nje, nadhani uimara wake utakuwa wa mashaka.
Kwa hiyo kwa mtazamo wangu gari lililokaa bandarini miaka kumi si salam kwa matumizi na kama mwenye nalo atatakiwa kulipia egesho la bandari la miaka kumi, nina hakika akwa na akili timamu ataongezea kiasi kidogo (kama atalazimika maana viwango vya bandari viko juu) anunue jingine ambalo hatahitaji kulikarabati.
Asante kwa CHANGAMOTO nzuri Kaka
Nakubaliana nawe mzee wa changamoto, lakini swali labaki kuwa kwanini wasubili miaka kumi? yaani hapawezi kuwa utaratibu wa japo miaka 2 au hata mmoja na baada ya hapo kutangaza mnada? nadhani kwa mtindo huo wanaweza kupata mapato ambayo wanadaiwa hao waloshindwa kukomboa. lakini kwa mtindo huo hapo juu nani kapata?
Hapo naungana nawe kuwa pamoja na kuwa miaka kumi ni mingi, wangeweza kupiga mnada baada ya miaka michache na hiyo ingewafanya wenye nia na magari kuyakomboa ndani ya muda mfupi, wale washindwao kukomboa kupoteza lakini bila kupoteza pesa za serikali. Maana naamini kwa miaka kumi kuna ambao wameshindwa kupitisha bidhaa zao hapo kwa kuwa sehemu za maegesho zilikuwa hazitoshi. Nakubaliana nawe kuwa utaratibu ngekuwa kuyatwanga mnada baada ya miaka michache (kama miwili hivi)
Post a Comment