Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Nimekuta ubishi paala fulani tena kwa watu naweza sema ni waelewa kiasi fulani maana wameenda shule na wengine wako katika fani, ati ile ho...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
Mgonjwa wa saratani akipata huduma Ocean Road Cancer Insititute (ORCI) asubuhi leo hii baada ya kununuliwa kwa vifaa vilivyokuwa vimeibwa y...
-
WADAU NADHANI SI VIBAYA SIKU MOJA MOJA TUKAPANUA MAWAZO KIDOGO NDO NAMNA YA KUELIMISHANA KUPITIA NJIA HII. HIKI ni kijiji kipo hapa bo...
-
Shibe inapoua kuliko njaa Obesity kills more people than hunger Most of the world's populations live in countries where overweight a...
-
HIGH COMMISSION OF THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA Telephone:012- 342 4371/93 Fax: 012 – 430 43 83 E-mail: t anzania@cis.co.za ...
-
On Tuesday, 7th July we witnessed the peak of the Saba Saba festivities. I never go to the Dar es Salaam International Trade Fair, these day...
-
LONDON (Dow Jones)--U.K. defense giant BAE Systems PLC (BA.LN) Tuesday was fined GBP500,000 for improper accounting in relation to the award...
3 comments:
Heshima kwako Kaka. Kama magari yamekaa bandarini kwa zaidi ya miaka 10 tayari ni hasara. Na sioni kwanini wasiya-crush maana sio tu yameshapungua kiwango kiasi cha kutisha, lakini hayafai tena kwenye masuala ya usalama wa abiria na mazingira. Kumbuka ni miaka 10 bila matengenezo yakiwa yameegeshwa bandarini ambako chumvi humung'unya vyuma vyake hivyo hata kama yataonekana kuwa Ok kwa nje, nadhani uimara wake utakuwa wa mashaka.
Kwa hiyo kwa mtazamo wangu gari lililokaa bandarini miaka kumi si salam kwa matumizi na kama mwenye nalo atatakiwa kulipia egesho la bandari la miaka kumi, nina hakika akwa na akili timamu ataongezea kiasi kidogo (kama atalazimika maana viwango vya bandari viko juu) anunue jingine ambalo hatahitaji kulikarabati.
Asante kwa CHANGAMOTO nzuri Kaka
Nakubaliana nawe mzee wa changamoto, lakini swali labaki kuwa kwanini wasubili miaka kumi? yaani hapawezi kuwa utaratibu wa japo miaka 2 au hata mmoja na baada ya hapo kutangaza mnada? nadhani kwa mtindo huo wanaweza kupata mapato ambayo wanadaiwa hao waloshindwa kukomboa. lakini kwa mtindo huo hapo juu nani kapata?
Hapo naungana nawe kuwa pamoja na kuwa miaka kumi ni mingi, wangeweza kupiga mnada baada ya miaka michache na hiyo ingewafanya wenye nia na magari kuyakomboa ndani ya muda mfupi, wale washindwao kukomboa kupoteza lakini bila kupoteza pesa za serikali. Maana naamini kwa miaka kumi kuna ambao wameshindwa kupitisha bidhaa zao hapo kwa kuwa sehemu za maegesho zilikuwa hazitoshi. Nakubaliana nawe kuwa utaratibu ngekuwa kuyatwanga mnada baada ya miaka michache (kama miwili hivi)
Post a Comment