Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
DEFINITION Colon cancer is cancer of the large intestine (colon), the lower part of your digestive system. Rectal cancer is cancer...
-
WINNERS Boulevard.: Biashara ya Masoko ya Mtandao : Fikiria kama ungekuwa walipwa kwa kila ushauri wa kutumia huduma ama bidhaa ya kampuni a...
-
Want to know the secret how to become successful in Edmark business? This is the opportunity, come and hear the testimony from Tanza...
-
Forever Multi Maca Maca, also known as Lepidium Meyenii, is an annual plant that is cultivated in the Peruvian central highla...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
From Tanzania all the way to South Africa, Norway, Netherlands, Oman, USA and the world people are following Bongo Pix, this is the joy of b...
-
Here are the TEN important things every Tanzanian should know about prostate cancer: About 1,250 Tanzanian men will probably ...
-
One of the most fascinating parts of my research is discovering who is becoming a millionaire today—becoming a millionaire seems to have ...


3 comments:
Heshima kwako Kaka. Kama magari yamekaa bandarini kwa zaidi ya miaka 10 tayari ni hasara. Na sioni kwanini wasiya-crush maana sio tu yameshapungua kiwango kiasi cha kutisha, lakini hayafai tena kwenye masuala ya usalama wa abiria na mazingira. Kumbuka ni miaka 10 bila matengenezo yakiwa yameegeshwa bandarini ambako chumvi humung'unya vyuma vyake hivyo hata kama yataonekana kuwa Ok kwa nje, nadhani uimara wake utakuwa wa mashaka.
Kwa hiyo kwa mtazamo wangu gari lililokaa bandarini miaka kumi si salam kwa matumizi na kama mwenye nalo atatakiwa kulipia egesho la bandari la miaka kumi, nina hakika akwa na akili timamu ataongezea kiasi kidogo (kama atalazimika maana viwango vya bandari viko juu) anunue jingine ambalo hatahitaji kulikarabati.
Asante kwa CHANGAMOTO nzuri Kaka
Nakubaliana nawe mzee wa changamoto, lakini swali labaki kuwa kwanini wasubili miaka kumi? yaani hapawezi kuwa utaratibu wa japo miaka 2 au hata mmoja na baada ya hapo kutangaza mnada? nadhani kwa mtindo huo wanaweza kupata mapato ambayo wanadaiwa hao waloshindwa kukomboa. lakini kwa mtindo huo hapo juu nani kapata?
Hapo naungana nawe kuwa pamoja na kuwa miaka kumi ni mingi, wangeweza kupiga mnada baada ya miaka michache na hiyo ingewafanya wenye nia na magari kuyakomboa ndani ya muda mfupi, wale washindwao kukomboa kupoteza lakini bila kupoteza pesa za serikali. Maana naamini kwa miaka kumi kuna ambao wameshindwa kupitisha bidhaa zao hapo kwa kuwa sehemu za maegesho zilikuwa hazitoshi. Nakubaliana nawe kuwa utaratibu ngekuwa kuyatwanga mnada baada ya miaka michache (kama miwili hivi)
Post a Comment