Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Nimekuta ubishi paala fulani tena kwa watu naweza sema ni waelewa kiasi fulani maana wameenda shule na wengine wako katika fani, ati ile ho...
-
Prof Aloysius Mwessa Hnonoli ni Mbongo wa kwanza kuwa Mkurugenzi wa Muhimbili na Mkuu wa Chuo kikuu cha Tiba. Mstaafu huyu jana alitu...
-
WADAU NADHANI SI VIBAYA SIKU MOJA MOJA TUKAPANUA MAWAZO KIDOGO NDO NAMNA YA KUELIMISHANA KUPITIA NJIA HII. HIKI ni kijiji kipo hapa bo...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
Mgonjwa wa saratani akipata huduma Ocean Road Cancer Insititute (ORCI) asubuhi leo hii baada ya kununuliwa kwa vifaa vilivyokuwa vimeibwa y...
-
Shibe inapoua kuliko njaa Obesity kills more people than hunger Most of the world's populations live in countries where overweight a...
-
Dr H Mwakyembe akishushwa toka ktk ndege ya kukodi na kupelekwa moja kwa moja MOI kwa Matibabu zaidi, Dr Mwakyembe alipata ajali ya gari m...
-
Mineral occurrence in Tanzania by TMAA UONGEZAJI WA PATO LA MTANZANIA Mheshimiwa Spika, 46. Lengo la Dir...
-
Ukumbi huko nyuma ya Minara miwili ukiwa ni wa mviringo. Eneoe kubwa la chai na ukaguzi pamoja na usajili kwa waalikwa. Sehemu za waa...
3 comments:
Hii ya kuwaburuza hawa wahesh...no wez...no wazee au watu wenye nyazifa bongo tumeanza lini?
si ni kawaida yetu wezi kama ni wa suti tunawaachiaga au tunawapa nyazifa zingine tu au hata kuwatupa ubalozini? hizi si ndo adhabu zetu bongo? sasa hii yatoka wapi ni utamaduni mpya au usaniii?
jibu pliizi.
JAMAAA WAMEKAA MUDA MFUPI SANA HAWA HAWAKULA MAJANI KISAWASAWA HAWA.
Wabongo hawa jamaaa wamepata wapi mali za thamani yote hii wakti walikuwa ni watumishi wa umma tu? na kipato cha mtumishi mbona kiko wazi tu?
tuseme wamefanya kazi kwa kipindi chote toka uhuru hata sasa na walikuwa labda wanalipwa milioni kwa mwezi, je wanaweza kulimbikiza mali za kufikisha billion 3 mtu mmoja?
TRA mmko wapi? dili lingine hilo hebu chunguzeni vitabu vya hawa jamaa na kuona kama walikuwa wanalipa kodi au la? hasa Daniel Yona, kama sivyo kesi juu ya kesi wanamaliza hii inaanza ya kukwepa kulipa kodi ambapo huku Uchina na baadhi ya nchi adhabu yake ni kifo tu.
Post a Comment