Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576
Popular Posts
-
At least 32 people have been killed in multiple explosions after an accident at a munitions dump in Tanzania's commercial capital, Dar e...
-
KASHFA YA RICHMOND YAPELEKEA Lowassa kujiuzuru, hii ina maana gani wapendwa? je na baraza zima limepigwa chini au niaje? Pichani juu ak...
-
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Ali Mohamed Shein na Mkewe Mama Mwanamwema Shein, wakiangalia uandaaji wa huduma mbali...
-
Wiki moja tu baada ya serikali kutangaza kuanza kutoza ushuru kwa mashirika ya Dini wakti ikiwasilisha bajeti ya Mwaka 2009/10 Waziri Mkuu M...
-
Mgombea wa CCM Oscar Mukasa akipiga kura. Matokeo ya awali ya uchaguzi mdogo wa Biharamulo yanaonesha mchuano mkali sana kati ya CCM na CH...
-
MGOMO WANUKIA TAZARA Wafanyakazi wa TAZARA kupitia chama cha wafanyakazi wa reli leo wametangaza mgogoro na uongozi wakidai kulipwa mishahar...
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
WADAU NADHANI SI VIBAYA SIKU MOJA MOJA TUKAPANUA MAWAZO KIDOGO NDO NAMNA YA KUELIMISHANA KUPITIA NJIA HII. HIKI ni kijiji kipo hapa bo...
3 comments:
Hii ya kuwaburuza hawa wahesh...no wez...no wazee au watu wenye nyazifa bongo tumeanza lini?
si ni kawaida yetu wezi kama ni wa suti tunawaachiaga au tunawapa nyazifa zingine tu au hata kuwatupa ubalozini? hizi si ndo adhabu zetu bongo? sasa hii yatoka wapi ni utamaduni mpya au usaniii?
jibu pliizi.
JAMAAA WAMEKAA MUDA MFUPI SANA HAWA HAWAKULA MAJANI KISAWASAWA HAWA.
Wabongo hawa jamaaa wamepata wapi mali za thamani yote hii wakti walikuwa ni watumishi wa umma tu? na kipato cha mtumishi mbona kiko wazi tu?
tuseme wamefanya kazi kwa kipindi chote toka uhuru hata sasa na walikuwa labda wanalipwa milioni kwa mwezi, je wanaweza kulimbikiza mali za kufikisha billion 3 mtu mmoja?
TRA mmko wapi? dili lingine hilo hebu chunguzeni vitabu vya hawa jamaa na kuona kama walikuwa wanalipa kodi au la? hasa Daniel Yona, kama sivyo kesi juu ya kesi wanamaliza hii inaanza ya kukwepa kulipa kodi ambapo huku Uchina na baadhi ya nchi adhabu yake ni kifo tu.
Post a Comment