UDSM-FCM Almuni Association formed,,,
Viongozi wa Umoja wa waliosoma UDSM Kitivo cha Biashara na Uongozi, L-R David Shambwe Katibu Mmwenezi, Itandula Gambalagi Mkurugenzi, Nehemiah Kyando Mchechu M/kiti na Rebecca Muna wakiongea na wana habari juu ya tukio kubwa la wadau litakafanyika Trh 3/8/2007.
Iki ni Kitivo muhimu sana kwa taifa letu hasa kulingana na hali ya dunia inavyoenda hapa wanazalishwa watu muhimu ktk kukuza uchumi wetu, sio siri ukiangalia makampuni mengi kwa sasa yanapendelea kuajiri viongozi toka nchi jirani au hata ulaya kwa kazi ambazo wabongo wanaozalishwa hapa wanaweza kuzifanya,
ni wakati muafaka sasa kuwajengea wahitimu wetu kujiamini ktk uwezo wao kwamba wanaweza kufanya na zaidi ya hao wanaodhaniwa ni bora toka ng'ambo.
No comments:
Post a Comment