May 12, 2007

UDSM VC PROF MUKANDALA. NI 41%NA NUKTA YA WANAFUNZI 16,000 WALOWEZA KUTIMIZA MASHARTI NA KULIPA 40% WALOTAKIWA, ASILIMIA KUBWA WAMECHEMSHA. HATA HIVYO CHUO KITAWARUDISHA WOTE KUENDELEA NA MASOMO BAADA YA KUSAINI FORM YA KUJITIA KITANZI NA TAFANYIKA UHAKIKI WA WALE WASOWEZA KULIPA KABISA KUKOPESHWA 100% KUFIKIA MWISHO WA MWAKA. WOTE 16,000 KASORO 56 AMBAO WANASEMEKANA NDIO VIONGOZI WA MGOMO AKIWEMO RAIS NA WAZIRI MKUU WA DARUSO.

No comments:

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...