April 14, 2007

Je waweza kuwatambua walio na Mwalimu? donge nono kutolewa.

6 comments:

Anonymous said...

Kushoto Hayati Samora Machel, aliyekuwa rais wa Msumbiji, na kulia Hayati Agustino Neto aliyekuwa rais wa Angola.

Anonymous said...

Mie nafikiri huyo ni Samora na Obote wa Uganda. Blackmpingo

Unknown said...

Je ni nani yuko sahihi kati ya hao waliotoa jibu au wengine mwasemaje?

Anonymous said...

Nitumie zawadi yangu Faza. Najua nimeshinda. Nipe ruhsa niwekewe picha yangu moja ktk blog yako.
Blackmpingo

Unknown said...

Hapana uijashinda Black Mpingo angalia tene vizuri zaidi.
nitumie hiyo picha nitakuwekea.

Anonymous said...

Ni Samora Machel na Agustino Neto wa Angola hii picha imetolewa kwenye kitabu cha Nyerere

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...