September 30, 2010

Kura ZERO ina maana gani?

Katika pitapita zangu kule NEC nikitafuta kuona landa patakuwa pamewekwa majina ya wagombea wote wa mwaka huu japo wa urais tu bila mafanikio, katika chimbuachimbjua ndani ya mtandao huo nakutana na matokeo ya mwaka 2005, nikacheki ya Dar kwanza, si mwajua ndo Tanzania yenyewe, huko nakumbana na matokeo hayo,
Kwamba uchaguzi ule kuna watu walipata ZERO ama buyu, sielewi, yaani hata yeye mwenyewe hakujipigia kura? mbali na mkewe au jirani, ndugu ama jamaa nk..
Mhh habari ndo hiyo.

No comments:

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...