YAPATA MWEZI MMOJA ULIOPITA NILITEMBELEA WEBSITE HII AMBAYO UWA INATHAMINSHA WEBS MBALIMBALI NA KUZIPA THAMANI KULINGANA NA JINSI ZINZVYOTEMBELEWA NIKAKUTA BP IKIWA NA THAMANI YA $1540 NA USHEE LEO HII NIPOANGALIA NIKAKUTA IMEPANDA NA KUFIKIA $2284.9 NA WATEMBELEAJI WAMEONGEZEKA MARADUFU PIA. HIININI MAANA YAKE? NI KUWA NINYI WADAU NDO MLIOIPANDISHA KUFIKIA HAPO NA NDO MNAOWEZA KUIPAISHA ZAIDI IVYO NASEMA ASANTENI SANA WADAU KWA MSHIKAMANO TULIONYESHA MWAKA JANA KUFIKIA HAPO, TUZIDI KUSHIRIKIANA ZAIDI KWA MWAKA HUU 2009, NAMI NAAHIDI KUWA NITAZIDI KUIFANYA BORA ZAIDI ILI KILA UFUNGUAPO BASI UPATE BURUDANI, ELIMU NA UFAHAMU NA ZAIDI UPATE KUJUZWA YANAYOJILI HAPA BONGO NA POPOTE NITAKAPOKUWAPO. ASANTENI SANA WADAU.
January 7, 2009
BONGO PIX YAPANDA THAMANI.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH

The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
WINNERS Boulevard.: Biashara ya Masoko ya Mtandao : Fikiria kama ungekuwa walipwa kwa kila ushauri wa kutumia huduma ama bidhaa ya kampuni a...
-
Umati wa watu unaozidi kufurika huko Loliondo kwa dhumuni moja tu, kupata dawa ambayo inaaminika inatibu magonjwa sugu ama yaliyoshin...
-
Kina dada wengi hivi sasa imekuwa ni kawaida kwenye kila shughuri hasa za usiku kukuta wamevaa nguo fupi, wengi wanasema ni fashion...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
The Himba are an ethnic group of about 20,000 to 50,000 people living in northern Namibia, in the Kunene region (formerly K...
-
Katika ajali hii kulikuwa na Shemeji yangu mke wa mdogo wangu Crispin Kagimbo, Ms Amina Ali pamoja na watoto wawili, Collin (1) na Micha...
-
Pinda ataka jino kwa jino Ni jinsi gani mauaji haya ya ndugu zetu hawa yanapokukele hata kufikia kiongozi kutoa amri ambayo yaweza onekana...
-
Photo n' art image of Bunge main gate for sale, please contact us if you wanna have a copy of this or any other image here, +25578...
-
Habari wadau, Mnaweza shangaa leo kuja na uzi huu wa Saratani ya Utumbo mpana, kifupi mi si tatbibu na wala sina fani yoyote ya namna hi...
No comments:
Post a Comment