November 30, 2009

Je kuna mdau yeyote aweza kumbuka lilikuwa wapi hili?

Hili ni tangazo katika mlango wa chumba cha mkutano katika moja ya ofisi nyeti hapa Jijini Dar enzi hizo simu zote za mkononi zilikuwa zaitwa mobitel,
swali la kizushi, Je kuna awezaye kutueleza lilikuwa ofisi gani?
Mshindi atapata zawadi nono na kumaliza mwaka huu meno nje.

No comments:

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...