January 19, 2009

MAISHA YA WABONGO KTK KARNE YA 21

Hapa ni jijini Bongo, kijana katwumwa maji kwa matumizi ya nyumabani!! USALAMA? wauliza usalama? we watokea wapi? hapa ni bora liende tu.

Hili ndo Jiji la kwanza na la Biashara ambapo afisi zote muhimu ndipo zapatikana, pia ni makazi waheshimiwa wote wa nchi hii lakini maisha ndo ka hivyo, Je vijijini kukoje wadau? kama jijini maji yaweza kosekana kwa zaidi ya wiki tatu na bado twaona sawa au wahusika waona ok? je mikoani si ni kasheshe? Maji sasa yauzwa ndoo 1 shs 500 hadi 2,000!!!!! ndoo ya lita 20 tu je wangapi waweza kumudu maisha hayo? WADAU MNA MAONI GANI?

No comments:

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...