January 19, 2009

JK AVUKA MALENGO YA AJIRA!!

Ajira zipatazo Milioni 1.2 zimetengezwa katika kipindi cha miaka mitatu tu ya uongozi wa awamu ya nne. Malengo wakati wa kampeni ilikuwa ni ajira milioni moja kwa kipindi cha miaka mitano. Mchanganuo waonesha kuwa:-
  • Sekta isiyo ramsi asilimia 97%
  • Serikali kuu asilimia 6.7
  • na Mashirika ya Umma ni aslimia 0.1
TAKWIMU KWA MUJIBU WA WAZIRI HUSIKA MHE. PROF JUMA KAPUYA.
Habari ndo hiyo wadau.

No comments:

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...