RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, na Amiri Jeshi Mkuu, wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Jakaya Kikwete amewatunukia nishani waandishi 12 wa vyombo mbalimbali vya habari nchini, walioshiriki katika vita ya kumng’oa kiongozi muasi ndani ya visiwa vya Komoro, Kanali Mohamed Bakari. Akikabidhi nishani hizo, kwa niaba ya Rais kwenye viwanja vya Karimjee Dar es Salaam jana, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, alisema taifa limethamini mchango wa wanahabari hao, waliokuwa wakiripoti katika mazingira magumu, dhidi ya vita hiyo. “kwa kutambua mchango wako, (mmoja mmoja) wa kuandika matukio kwenye uwanja wa mapambano, wa kukikomboa kisiwa cha Anjouan, yaliyofanyika bila kumwaga damu, kazi uliyoifanya katika mazingira magumu, mimi Rais nakutunukia nishani,” alitamka.
December 17, 2008
WAANDISHI WATUNUKIWA
Father Kidevu Mroki akipewa nishani
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
It has been a while now that my life had taken on a sense of expectation. It has been almost 3 months since I met Russell Simmons at a char...
-
It’s not important to hold all the good cards in life. It`s important how well you play the cards which you hold. Often, when we lose...
-
On Tuesday, 7th July we witnessed the peak of the Saba Saba festivities. I never go to the Dar es Salaam International Trade Fair, these day...
-
Gadhafi na Obama With reported pockets of fighting remaining in Tripoli on Wednesday, the whereabouts of Lib...
-
Shibe inapoua kuliko njaa Obesity kills more people than hunger Most of the world's populations live in countries where overweight a...
-
The government of Uganda is planning to pay a compensation fee to the government of Tanzania for the help offered Uganda in the 1979 liber...
-
Katuka mila nyingi za kiafrica ama kibantu ni utovu wa nidhamu kumwita mkubwa wako MWONGO ni kitendo cha dharau, nami nisingependa kabisa ku...
-
LONDON (Dow Jones)--U.K. defense giant BAE Systems PLC (BA.LN) Tuesday was fined GBP500,000 for improper accounting in relation to the award...
No comments:
Post a Comment