December 5, 2008

Amani Burundi- FNL YAKUBALI KUBADILI JINA.

Mtoto wa Mkulima MP na Makamu wa Rais wa Kenya Kalonzo Musyoka.
Rais Yoweri Museven wa Uganda (wapili kushoto) ambaye ni Mwenyekiti wa Kamati ya Kutafuta suluhu ya Mgogoro kati ya Serikali ya Burundi inayoongwanzwa na Rais Pierre Nkurunziza (watatu kushoto) na Kikundi cha The Palipehutu National Liberation Front (FNL) kinachoongozwa na Agathon Rwasa, akizungumza katika mkutano wa kutia saini makubaliano ya kumaliza mgogoro huo, mjini Bujumbura Desemba 4, 2008. Kushoto ni Rais wa Zambia, Rupiah Banda na kulia ni Waziri Mkuu Mizengo Pinda aliyemwakilisha Rais Jakaya Kikwete kwenye mkutano huo. Wapili kulia ni Makamu wa Rais wa Kenya, Kalonzo Musokya.
Rais wa Burundi , Pierre Nkurunziza (kushoto) na Kiongozi wa Kikundi cha wapiganaji cha The Palipehutu National Lineration Front (FNL), Agathon Rwasa wakitia saini makubaliano ya kuacha mapigano katika mkutano wa Usuluhishi ulioongozwa na mwenyekiti wa kamati ya kusuluhisha mgogoro huo, Rais Yoweri Museveni wa Uganda, mjini Bujumbura, December 4, 2008.

No comments:

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...