Mfanyabiashara maarufu aliyepata kuwa Mkurugenzi, Mwenyekiti, Rais, nk wa mashirika na asasi mbalimbali Anald Kileo amewaasa watumishi wa umma kuandaa mazingira bora na safi na raini ya kuelekea kwenye sekta binafsi mara ajira zao zinapofikia ukomo ili watue uko huku wakikimbia kwani ndio kimbilio mara baada ya ajira ya umma. Wosia huu ilitokana na mada ya rais wa zamani wa TCCIA Elvis Musiba kuwa ukiritimba uriokithiri kwa watumishi wa serikali ni kiwazo kikubwa sana ktk sekta bibafsi kufanya biashara na kuwa utakapo kuanzisha biashara leo basi anza angalau miaka mitatu kabla kufatilia serikalini.
November 19, 2008
WOSIA WA BURE KWA WATUMISHI WA UMA.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
WADAU NADHANI SI VIBAYA SIKU MOJA MOJA TUKAPANUA MAWAZO KIDOGO NDO NAMNA YA KUELIMISHANA KUPITIA NJIA HII. HIKI ni kijiji kipo hapa bo...
-
Mgonjwa wa saratani akipata huduma Ocean Road Cancer Insititute (ORCI) asubuhi leo hii baada ya kununuliwa kwa vifaa vilivyokuwa vimeibwa y...
-
Nimekuta ubishi paala fulani tena kwa watu naweza sema ni waelewa kiasi fulani maana wameenda shule na wengine wako katika fani, ati ile ho...
-
At least 32 people have been killed in multiple explosions after an accident at a munitions dump in Tanzania's commercial capital, Dar e...
-
Ni nini Waziri Mkuu wa Zamani Cleopa D Msuya aweza kuwa akimweleza JK? ...............................................................?
-
Wajifunza nini katika video hii?? Richie alikuwa na sababu milioni na zaidi za kushundwa kufanya chochote, za kuwa maskini, au za kuamu...
No comments:
Post a Comment