August 25, 2008

Mwakilishi wetu BBA

Kwa miaka miwili mfululizo tumekuwa tukiwakishwa na wanaume ktk lile jumba la Big BROTHER au Kaka Mkubwa na wote kufanikiwa kufika hadi mwisho kwa mmoja kuibuka wa pili (Mwampamba) na mwingine kuibuka kidedea yaaani Richard, lakini mwaka huu ndani ya Jumba la Kaka Mkubwa wa Africa kwa mara ya kwanza tumepeleka binti naye si mwingine bali ni bi Latoya Lyakura binti toka "A" tauni, huyu ni Katibu Muhtasi ambaye apenda kucheza, kushop na kujimix na watu. Je dada Latoya atafanikiwa kama Richard au angalau kama Mwisho? au ndo..........................................................?
Posted by Picasa

No comments:

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...