August 22, 2008
EPA bado hakijaeleweka!!!!
Baadhi ya wananchi hawajaridhika na hatua zilizochukuliwa na serikali juu wizi wa fedha za akaunti ya malipo ya nje maalufu kama EPA ya watuhumiwa kupewa hadi oktoba 31 kuwa wamerejesha vinginevyo watapelekwa mahakamani.
Mkurugenzi wa Mtandao wa jinsia Ussu Malya pamoja na baadhi ya wanachi wanahoji kama ni sawa kwa watuhumiwa kupelekwa mahakamani iwapo watashindwa kurudisha pesa hizo na kuoji je hao walio kwisha rudisha ndio basi?
"Yaani mtu unaiba mabilioni ya umma kwa hati za kufoji kisha unashitukiwa na unaambiwa urudishe basi? hii haiingii akilini hata kidogo tunataka hatua zaidi" Malya
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Nimekuta ubishi paala fulani tena kwa watu naweza sema ni waelewa kiasi fulani maana wameenda shule na wengine wako katika fani, ati ile ho...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
Mgonjwa wa saratani akipata huduma Ocean Road Cancer Insititute (ORCI) asubuhi leo hii baada ya kununuliwa kwa vifaa vilivyokuwa vimeibwa y...
-
WADAU NADHANI SI VIBAYA SIKU MOJA MOJA TUKAPANUA MAWAZO KIDOGO NDO NAMNA YA KUELIMISHANA KUPITIA NJIA HII. HIKI ni kijiji kipo hapa bo...
-
Shibe inapoua kuliko njaa Obesity kills more people than hunger Most of the world's populations live in countries where overweight a...
-
HIGH COMMISSION OF THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA Telephone:012- 342 4371/93 Fax: 012 – 430 43 83 E-mail: t anzania@cis.co.za ...
-
LONDON (Dow Jones)--U.K. defense giant BAE Systems PLC (BA.LN) Tuesday was fined GBP500,000 for improper accounting in relation to the award...
No comments:
Post a Comment