Ofisa Uhusiano wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Bi. Dorris Malulu akifurahia kuona kitenge cha batiki chenye jina la kampuni hiyo baada ya kukabidhiwa zawadi na Kikundi cha Wanawake Wajane cha The Good News Social Welfare Organisation (GOSOWO), baada ya kukipatia msaada wa vyerehani vya thamani ya sh. milioni 4 pamoja na kuwagharamia sh. milioni 1.5 za mafunzo ya kudarizi na kutengeneza nguo za batiki. Kulia ni Ofisa Tarafa ya Ilala, Bw. Suleiman Mwenda
April 23, 2008
TBL NA WAJANE
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
WADAU NADHANI SI VIBAYA SIKU MOJA MOJA TUKAPANUA MAWAZO KIDOGO NDO NAMNA YA KUELIMISHANA KUPITIA NJIA HII. HIKI ni kijiji kipo hapa bo...
-
Mgonjwa wa saratani akipata huduma Ocean Road Cancer Insititute (ORCI) asubuhi leo hii baada ya kununuliwa kwa vifaa vilivyokuwa vimeibwa y...
-
Nimekuta ubishi paala fulani tena kwa watu naweza sema ni waelewa kiasi fulani maana wameenda shule na wengine wako katika fani, ati ile ho...
-
Ni nini Waziri Mkuu wa Zamani Cleopa D Msuya aweza kuwa akimweleza JK? ...............................................................?
-
At least 32 people have been killed in multiple explosions after an accident at a munitions dump in Tanzania's commercial capital, Dar e...
-
Wajifunza nini katika video hii?? Richie alikuwa na sababu milioni na zaidi za kushundwa kufanya chochote, za kuwa maskini, au za kuamu...
No comments:
Post a Comment