April 21, 2008
KWA KINA BABA TUUUU!
Kina baba mmeipata hii? najua wengine leo au jana baada ya kusoma habari hii mmeanza kuwaangalia wanenu au mlioambiwa wanenu kwa macho mawilimawili,
hayo ndo mambo ya tekonologia ya kisasa au kipimo kinachoitwa DNA kinavyosema kwa ndoa zilizopimwa au walokuwa na mashaka na wenza wao.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
Nimekuta ubishi paala fulani tena kwa watu naweza sema ni waelewa kiasi fulani maana wameenda shule na wengine wako katika fani, ati ile ho...
-
Shibe inapoua kuliko njaa Obesity kills more people than hunger Most of the world's populations live in countries where overweight a...
-
WADAU NADHANI SI VIBAYA SIKU MOJA MOJA TUKAPANUA MAWAZO KIDOGO NDO NAMNA YA KUELIMISHANA KUPITIA NJIA HII. HIKI ni kijiji kipo hapa bo...
-
Mgonjwa wa saratani akipata huduma Ocean Road Cancer Insititute (ORCI) asubuhi leo hii baada ya kununuliwa kwa vifaa vilivyokuwa vimeibwa y...
-
On Tuesday, 7th July we witnessed the peak of the Saba Saba festivities. I never go to the Dar es Salaam International Trade Fair, these day...
-
LONDON (Dow Jones)--U.K. defense giant BAE Systems PLC (BA.LN) Tuesday was fined GBP500,000 for improper accounting in relation to the award...
-
At least 32 people have been killed in multiple explosions after an accident at a munitions dump in Tanzania's commercial capital, Dar e...
1 comment:
JAMANI HII STORY SI NZURI MNATAKA KUVUNJA NDOA ZA WATU SASA,
FIKIRIA ITAKUWAJE PALE BABA WA WATOTO WANNE AU SITA AMBAO ANADHANI NI WANAE KABISA NA HIVYO KUWAJIBIKA KISAWASAWA KWA MALEZI NA ELIMU TENE YA GHARAMA, JE ATAKAPO TIA SHAKA NA KWENDA NA KWENDA KUWAHAKIKISHA NA KUGUNDUA KUMBE NI KANYABOYA JE PATATOSHA HAPO KWELI?
NA HILI TULITARAJIE WAKATI WOWOTE KWANI AKA KASTORY MABABA KAMEWAGUSA KWELI,
HUENDA KINAMAMA WADANGANYIFU WAKAKAUNDIA TUME AKA KAMTAMBO NA KUKADISTROI KALINDWE NA FFU AKA NA MIBOMU YA KUTUNGULIA NDEGE VINGINEVYO TWAJAKAKOSA SASA HIVI.
Post a Comment