September 13, 2007

Mapato si haba ati!! mia sita M zote mhh''' ila ni nini kilitokea ktk mechi ya kwanza na waganda hata kupata 234m tu? na watu walikuwa karibia sawa na waliokuwa ktk mechi hii? au ni tishio la wadau wakiongozwa na wabunge wa dar kutaka kupata ufafanuzi mapati yale au ni vijana wa Hosea waliwakalia kooni hata kushindwa kupika mahesabu ya kiingilio? maswali ni mengi kwani hata tofauti ni kubwa mnooooooo jamani zaidi ya 400M si pesa ndogo hiyo ati..........tusubiri tu muda utasema.

No comments:

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...