Wapenzi wa mpira wengine toka mikoani wamekuja kwa ajili ya mechi hii muhimu, hakika sasa wabongo wanaipenda timu yao.
Tatizo liko ktk tickets watu wamefika toka saa kumi na moja Alfajili kwenye baadhi ya vituo vilivyopangwa kuuza tiketi lakini saa mbili vilipofunguliwa ikawa ni zile za 10,000 hadi 50,000 zilizokuwa zikiuzwa na kuwa za 3000 zitauzwa saa nane,
wapenzi ambao wengi ni kipato kidogo pamoja ni kuwai kote uko bado hawakuwa wamepata tiket hadi kufika saa saba.
Mungu Bariki Taifa Stars, Mungu Bariki Tanzania.
No comments:
Post a Comment