July 31, 2007
What is 500 million? is just a peanut!!
Aonekana kushangaa Wakili Maarufu, Mbunge na pia Mfanyabiashara Mkono wakti akizungumza na waandishi wa habari kuhusu Benk M ambayo anasema ni ya kwake pamoja na wanahisa ambao hakuwataja, na kwamba haina uhusiano wowote na Rais Mstaafu Ben Mkapa, anadai kuwa kwa mtu wa rangi yake kuniliki ardhi katikati ya jiji ni ndoto, na kwamba ni ndoto pia kumiliki benki kwa mzawa kama yeye ndo maana ya makombora yanayorushwa kwake pitia magazeti fulani kwa lengo la kuhakikisha hafanikiwi.
Kwa madai yake ni kwamba toka 1991 ametaka kuanzisha benki maarufu kama Shilingi House lakini haikuwezekana.
Kama hayo yote ni kweli basi ni nani hao wanaorusiwa kumiliki ardhi katikati ya jiji? na wanamilikishwa na nani? na ni biashara gani mzawa katika nchi yake anapaswa kufanya? ni umachinga tu? na nani hasa hao wanaoweka vizingiti ivi na kwa faida au hasara ya nani? maswali ni mengi mno na sijui kama majibu yaweza patikana.
Tatizo liko wapi hasa?
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
Nimekuta ubishi paala fulani tena kwa watu naweza sema ni waelewa kiasi fulani maana wameenda shule na wengine wako katika fani, ati ile ho...
-
WADAU NADHANI SI VIBAYA SIKU MOJA MOJA TUKAPANUA MAWAZO KIDOGO NDO NAMNA YA KUELIMISHANA KUPITIA NJIA HII. HIKI ni kijiji kipo hapa bo...
-
Mgonjwa wa saratani akipata huduma Ocean Road Cancer Insititute (ORCI) asubuhi leo hii baada ya kununuliwa kwa vifaa vilivyokuwa vimeibwa y...
-
Shibe inapoua kuliko njaa Obesity kills more people than hunger Most of the world's populations live in countries where overweight a...
-
LONDON (Dow Jones)--U.K. defense giant BAE Systems PLC (BA.LN) Tuesday was fined GBP500,000 for improper accounting in relation to the award...
-
On Tuesday, 7th July we witnessed the peak of the Saba Saba festivities. I never go to the Dar es Salaam International Trade Fair, these day...
-
HII NI HOSTEL YA CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI WANAPOISHI WATAALAMU WETU WA AFYA WA KESHO.
No comments:
Post a Comment