June 12, 2007
Tuliyojifunza katika asazi zote ni mengi mno ila kwa leo nitazungumzia jinsi idara hii inavyofanya kazi na wapiga picha na watu wa usalama ambalo limekuwa ni tatizo sana kwetu bongo. Huyu ni Julia Fassbender wadhifa wake ni Visual Advisor, kwa fani ni mpiga picha na amewai kuwa mpiga picha mkuu wa serikali, kwa wadhifa wa sasa yeye ndiye anayehusika na kuakikisha upatikanaji wa picha za viongozi wa serikali na kuandaa mazingira ya picha wapi ipigwe na kuakikisha kunakuwa na mwanga na mazingira bora. kwa kufanya ivyo na kwa kushirikiana na watu wa protokali anahakikisha hakuna muingiliano wowote wa watu wa usalama pamoja na kupanga eneo mwafaka kwa wapigapicha si wa serikali bali wote wanaokuwepo kuweza kupata picha nzuri. Mkutana wa G8 ulioisha karibuni ulikuwa na wapiga picha zaidi ya 2,000 toka kote ulimwenguni lakini kila mmoja alipaga picha pasi na muingiliano na watu wa usalama, waweza dhania hawakuwepo vile, lakini sote twajua kuwa pengine walikuwa mara nane ya wapiga picha, swali je wako wapi? Kwa wapigapicha na watu wa protokali au usalama liko jambo la kujifunza hapa, kwa maneno yake anasema picha nzuri si suala la bahati bali lapangwa kabla. pia lakufurahisha ni kwamba wanaprotokali ndio wanaotaka viongozi wao wapate picha nzuri kadiri iwezekanavyo hivyo kutoa ushirikiano wa kutosha kwa wapiga picha, wakisha kukagua vya kutosha (kama wafanyavyo bongo) na kukurusu kuwa eneo la tukio na wawekapo eneo la wapiga picha hakuna yeyeto anayeruhusiwa kukatiza kati ya wapigapicha na viongozi ivyo kuweza kupata picha nzuri. kumbuka mpigapicha ni muweka kumbukumbu za baadaye, picha nzuri tuzionazo leo ziliandaliwa mazingira mazuri ya mpigapicha kuzipata.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
Nimekuta ubishi paala fulani tena kwa watu naweza sema ni waelewa kiasi fulani maana wameenda shule na wengine wako katika fani, ati ile ho...
-
WADAU NADHANI SI VIBAYA SIKU MOJA MOJA TUKAPANUA MAWAZO KIDOGO NDO NAMNA YA KUELIMISHANA KUPITIA NJIA HII. HIKI ni kijiji kipo hapa bo...
-
Mgonjwa wa saratani akipata huduma Ocean Road Cancer Insititute (ORCI) asubuhi leo hii baada ya kununuliwa kwa vifaa vilivyokuwa vimeibwa y...
-
Shibe inapoua kuliko njaa Obesity kills more people than hunger Most of the world's populations live in countries where overweight a...
-
LONDON (Dow Jones)--U.K. defense giant BAE Systems PLC (BA.LN) Tuesday was fined GBP500,000 for improper accounting in relation to the award...
-
On Tuesday, 7th July we witnessed the peak of the Saba Saba festivities. I never go to the Dar es Salaam International Trade Fair, these day...
-
HII NI HOSTEL YA CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI WANAPOISHI WATAALAMU WETU WA AFYA WA KESHO.
No comments:
Post a Comment