July 18, 2012

Breaking News- Ajali Nyingine ya Meli Zanzibar

Meli ya Mv Seagull ikiwa na abiria zaidi ya 200 ikotokea Dar es Salaaam kwenda Zanzibar inasemekana kuwa imezama katika eneo la Chumbe, Juhudi za uokoaji zinaendelea, na tayari watu kadhaa wameokolewa wakiwa hai, vifo bado havijaripotiwa. Tutawaletea taarifa zaidi 

Kwa mujibu wa Itv Breaking News.

1 comment:

Anonymous said...

Hii tena imekua mchezo kila mara watu kufa kama kuku, Serikali lazima ichukue hatua kali sana kwa wenye hizi meli si kuacha wanaua watu hovyo, Wanafikiria pesa kuliko roho za watu huu ni uaji umekua si ubinadamu na seriakali inachangia kwa haya yote yanayotokea inakula rushwa kuuwa wanachi wake huu ni upumbavu mkubwa sana.

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...