![]() | ||||||||||
|
Muasisi na Mwenyekiti wa Bodi wa Precision Air Bw. Michael
Shirima (kulia) akitoa tamko rasmi kuhusiana na mpango wa Uuzaji wa Hisa katika
Soko la Awali (IPO) utakaoanza tarehe 7 – 28 Oktoba, 2011 wakati wa mkutano na
waandishi wa habari leo jijini Dar, Katikati ni Mkurugenzi Mkuu na Meneja
Mwendeshaji wa Precision Air Bw. Alfonse Kioko akifuatiwa na Meneja Uhusiano wa
Wateja katika Benki ya Stanbic Bi. Naomi Vincent.
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Dar es Salaam Oktoba 4, 2011.
Bodi
ya Wakurugenzi wa shirika la ndege la Precision Air Services Plc inapenda
kuwataarifu kwamba mpango wetu wa Uuzaji wa Hisa katika Soko la Awali (IPO) na
kuorodheshwa katika Soko la Hisa la Dar es salaam (DSE) imepatiwa vibali vyote
husika na sasa ipo tayari kwa hatua zinazofuata.
Kilichoidhinishwa
ni ratiba ya matukio ya utaratibu mzima wa mchakato huu:
Kampuni
itatoa jumla ya hisa 58,841,750 kwa ajili ya ununuzi kwa bei ya 475 kwa kila
hisa. Huku idadi ya chini ya kuanza kununua hisa ambayo mtu ataruhusiwa kununua
itakuwa ni hisa 200.
Nakala
ya waraka wa matarajio ya kampuni ambayo pamoja na mambo mengine, maelezo
maalumu ya ufafanuzi na ununuzi wa hisa zinapatikana katika tovuti ya Precision
Air www.precisionairtz.com
tarehe 4 Oktoba 2011.
Kwa
niaba ya Wakurugenzi ya Bodi, utawala na wafanyakazi wote napenda kutoa
shukurani zangu za dhati kwa wateja wetu kwa mchango wao na ushirikiano
yakinifu ulioweza kufanikisha maendeleo na ukuaji wa shirika la ndege hili
tangu kuanzishwa kwake mwaka 1993.
Michael N
Shirima
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi
|
October 5, 2011
Precision Air kuuza hisa Milioni 60 Oktoba 7 - 28, 2011
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
DEFINITION Colon cancer is cancer of the large intestine (colon), the lower part of your digestive system. Rectal cancer is cancer...
-
WINNERS Boulevard.: Biashara ya Masoko ya Mtandao : Fikiria kama ungekuwa walipwa kwa kila ushauri wa kutumia huduma ama bidhaa ya kampuni a...
-
Baada ya DCI na jeshi la polisi kwa ujumla kukiri kuwa vifaa walivyowekewa wabunge wa upinzani yaani Wilbrod Slaa na Dr Ali Tarib Ali kwam...
-
Want to know the secret how to become successful in Edmark business? This is the opportunity, come and hear the testimony from Tanza...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
At least 32 people have been killed in multiple explosions after an accident at a munitions dump in Tanzania's commercial capital, Dar e...
-
Forever Multi Maca Maca, also known as Lepidium Meyenii, is an annual plant that is cultivated in the Peruvian central highla...
-
Shibe inapoua kuliko njaa Obesity kills more people than hunger Most of the world's populations live in countries where overweight a...

No comments:
Post a Comment