![]() | ||||||||||
|
Muasisi na Mwenyekiti wa Bodi wa Precision Air Bw. Michael
Shirima (kulia) akitoa tamko rasmi kuhusiana na mpango wa Uuzaji wa Hisa katika
Soko la Awali (IPO) utakaoanza tarehe 7 – 28 Oktoba, 2011 wakati wa mkutano na
waandishi wa habari leo jijini Dar, Katikati ni Mkurugenzi Mkuu na Meneja
Mwendeshaji wa Precision Air Bw. Alfonse Kioko akifuatiwa na Meneja Uhusiano wa
Wateja katika Benki ya Stanbic Bi. Naomi Vincent.
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Dar es Salaam Oktoba 4, 2011.
Bodi
ya Wakurugenzi wa shirika la ndege la Precision Air Services Plc inapenda
kuwataarifu kwamba mpango wetu wa Uuzaji wa Hisa katika Soko la Awali (IPO) na
kuorodheshwa katika Soko la Hisa la Dar es salaam (DSE) imepatiwa vibali vyote
husika na sasa ipo tayari kwa hatua zinazofuata.
Kilichoidhinishwa
ni ratiba ya matukio ya utaratibu mzima wa mchakato huu:
Kampuni
itatoa jumla ya hisa 58,841,750 kwa ajili ya ununuzi kwa bei ya 475 kwa kila
hisa. Huku idadi ya chini ya kuanza kununua hisa ambayo mtu ataruhusiwa kununua
itakuwa ni hisa 200.
Nakala
ya waraka wa matarajio ya kampuni ambayo pamoja na mambo mengine, maelezo
maalumu ya ufafanuzi na ununuzi wa hisa zinapatikana katika tovuti ya Precision
Air www.precisionairtz.com
tarehe 4 Oktoba 2011.
Kwa
niaba ya Wakurugenzi ya Bodi, utawala na wafanyakazi wote napenda kutoa
shukurani zangu za dhati kwa wateja wetu kwa mchango wao na ushirikiano
yakinifu ulioweza kufanikisha maendeleo na ukuaji wa shirika la ndege hili
tangu kuanzishwa kwake mwaka 1993.
Michael N
Shirima
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi
|
October 5, 2011
Precision Air kuuza hisa Milioni 60 Oktoba 7 - 28, 2011
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
There has been resurgence in the number of registered divorces in the country in the past two years after declining between 2005 and 2006. ...
-
Tarime — FELISTA Laurent (15) had not been admitted to hospital in her life, until November 4, this year, when she was attacked by his fath...
-
TRA YA NCHI JIRANI YAPONDA PONDA MAGARI YALOSHINDWA KUKOMBOLEWA BANDARINI, MAGARI YAPATAYO 200 KUPONDWA DESEMBA HII, JE HUKU NI KUWA NA AK...
-
But while the suspect was being attended to in one of the wards at Leratong Hospital in Krugersdorp, west of Johannesburg, the on-...
-
Shirika la habari la Uholanzi Radio Netherlands Worldwide limeipa shavu picha hii na kushika nafasi ya tano katika shindano lake la hivi kar...
-
Habari wadau, Mnaweza shangaa leo kuja na uzi huu wa Saratani ya Utumbo mpana, kifupi mi si tatbibu na wala sina fani yoyote ya namna hi...
-
Kwa mujibu wa ripoti za Shirika la Afya Duniani vifo vitokanavyo na magonjwa yasiyo ya kuambukiza, kitaalumu Noncommunicable Dise...

No comments:
Post a Comment