August 2, 2011

Welcome on board

Lets welcome on board new Blogger Kijakazi Yunus with her afrokijah blog

 Habari ya siku tele kaka, natumai unaendelea vizuri na shughuli zako za kila siku.. Napenda kukujulisha kuwa nina blog yangu ambayo inaitwa afrokija, inayozungumzia hasa masuala ya muziki na wanamuziki Barani Afrika na  ninalenga hasa yale yanayojiri kwenye kipindi changu cha Afrobeat kinachorushwa na East Africa TV kila jumamosi saa 1 jioni, ingawa pia napost na habari zingine zinazonigusa ambazo naamini watu wengine wangependa kuzifahamu. Hivyo naomba uwafahamishe wapenzi wa blog yako kuwa kuna hii blog ili waweze kupata habari za wanamuziki wa Afrika kupitia blog yangu(afrokija)

Natumai utanipa ushirikiano
Nakutakia kazi njema.
 Ramadhani Kareem.

No comments:

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...