WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda, amesikitishwa na maisha wanayoishi wanafunzi wa Shule ya Msingi Mulusagamba iloyopo wilayani Ngara, Mkoa wa Kagera.
Pinda alionyesha masikitiko hayo jana baada ya kufika shuleni hapo na kuwaona wanafunzi wa shule hiyo wakitembea bila viatu huku sare zao za shule zikiwa chafu.
Waziri Mkuu huyo ambaye yuko katika ziara ya kiserikali katika Mkoa wa Kagera, alifika katika shule hiyo kwa ajili ya kupokea taarifa ya maendeleo ya Wilaya ya Ngara iliyosomwa na Mkuu wa Wilaya hiyo, Salumu Nyakonji.
”Hali walionayo wanafunzi hawa ni mbaya sana kwani inaonekana kuchangiwa na umaskini unaowakabili wazazi wao.
“Ili kuondokana na hali hii lazima sasa viongozi wa wilaya muwe wabunifu, mbuni fursa mbalimbali zitakazowaongezea wananchi wastani wa kipato chao.
“Viongozi lazima mhakikishe wananchi wanaboresha kilimo ili kiwe na tija kwani kwa kufanya hivyo wataweza kukabiliana na umaskini wa kipato unaowakabili,” Alisema Pinda
Ili kuimarisha Kilimo Kwanza, aliwataka viongozi wilayani hapa wawahamasishe wananachi juu na manufaa ya kilimo cha kisasa kwa kufuata kanuni za kilimo.
March 10, 2011
Pinda ashangaa wanafunzi kukosa viatu.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576
Popular Posts
-
Nimekuta ubishi paala fulani tena kwa watu naweza sema ni waelewa kiasi fulani maana wameenda shule na wengine wako katika fani, ati ile ho...
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Kina dada wengi hivi sasa imekuwa ni kawaida kwenye kila shughuri hasa za usiku kukuta wamevaa nguo fupi, wengi wanasema ni fashion...
-
Ukumbi huko nyuma ya Minara miwili ukiwa ni wa mviringo. Eneoe kubwa la chai na ukaguzi pamoja na usajili kwa waalikwa. Sehemu za waa...
-
At least 32 people have been killed in multiple explosions after an accident at a munitions dump in Tanzania's commercial capital, Dar e...
-
Bila shaka wapo ambao kwa kuona picha tu udenda wawadondoka hapo walipo, msihofu tembeleeni sabasaba kule karibu na banda la Heineken kwa w...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
DC AAMURU WALIMU WACHARAZWE VIBOKO MKUU wa Wilaya ya Bukoba, Albert Mnali, ameacha maswali miongoni mwa walimu baada ya kufanya ...
-
WADAU NADHANI SI VIBAYA SIKU MOJA MOJA TUKAPANUA MAWAZO KIDOGO NDO NAMNA YA KUELIMISHANA KUPITIA NJIA HII. HIKI ni kijiji kipo hapa bo...

No comments:
Post a Comment