March 1, 2011

JK safarini France na Ivory Coast

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete, akiagana na Msaidizi wa Makamu wa Rais Bw. Agostin Ngonyani pamoja na Viongozi wa Serikali kwenye Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Dar es salaam leo, alipokuwa akielekea Nchini Ufaransa na Ivory Cost. Kushoto Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Mohamed Gharib Bilal.

Picha naVPO.

1 comment:

Anonymous said...

Miezi mitatu iliyopita alikuwa nafanya kampeni. Uchaguzi umekwisha badala ya kusoma maripoti na kukaa chin, sasa mara Mauritania, Congo, Ufaransa, Ivori Costi, Je matakwa ya watanzania anayafahamu?

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...