December 6, 2009

Kanisa USA lateua Shoga mwingine kuwa Askofu

Dayosisi moja mjini Los Angeles, Marekani, imemchagua askofu, na ambaye waziwazi inafahamika anahusishwa na mapenzi ya jinsia moja.

Huyu ni askofu wa pili katika kanisa la Anglikana na anayehusishwa na mapenzi ya jinsia moja, jambo ambalo limesababisha mgawanyiko mkubwa katika kansia hilo.

Mchungaji Mary Glasspool, kutoka Baltimore, alichaguliwa kama askofu msaidizi, ingawa anahitaji kuungwa mkono na kanisa la Episcopal (Anglikana) nchini Marekani ili kikamilifu kukabidhiwa mamlaka hayo.

Gene Robinson (pichani) alikuwa wa kwanza kuchaguliwa kama askofu wa mapenzi ya jinsia moja, katika dayosisi ya New Hampshire, miaka sita iliyopita, na jambo hilo likasababisha mgawanyiko katika kanisa Anglikana.

source: BBC

1 comment:

Anonymous said...

jamani ndo kiama kimeshafika hivooooo!

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...