January 23, 2009

Mashitaka kitandani

Mwendesha mashitaka wa serikali Harun Matagane (kushoto) akimsomea mashitaka dereva Damian Aweda Lali (30) akiwa kitandani katika wodi ya majeruhi hospitali ya Mount Meru mjini Arusha kwa kusababisha vifo vya watu 16 na majeruhi 24.Kwa mujibu wa hati hiyo ya mashitaka dereva huyo alisomewa makosa 47 ya kuvunja sheria za usalama barabarani.Kulia kabisa (mwenye miwani) ni hakimu mkazi wa mahakama ya mkoa wa Arusha anayesikiliza kesi anayesikiliza kesi hiyo George Hubert.

No comments:

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...