November 26, 2008

Yesuuuuuuu nyife siamini walai!!!!!!!

"Hii sirikali ya awamu ya nne ni chiboko yaani hata miye nalala selo hati kwa kukosa tubilioni tunne tu??? walai siamini, hebu kachukue lile VX langu pale kwa Hoseah kijana".
kwa kweli siami macho yangu au naota vile?
MAWAZIRI wawili wa zamani, Basil Mramba na Daniel Yona, wamelala rumande baada ya kushindwa kutimiza masharti ya dhamana baada ya kushitakiwa kwa kosa la kuisababishia hasara serikali ya Sh bilioni 11.7. Washitakiwa hao ambao walipandishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam jana saa 5:35 asubuhi, walishindwa kutimiza sharti la kila mmoja kuweka Sh bilioni 3.9 mahakamani. Walikana mashitaka yao 13. Wote wanatuhumiwa kutumia vibaya madaraka yao ya uwaziri hivyo kuipendelea Kampuni ya Alex Stewart (Assayers) ya Uingereza kwa kuipa misamaha ya kodi.
http://www.dailynews.habarileo-tsn.com/

3 comments:

Anonymous said...

hii ni kali kweli mdau, siamini masikio yangu ka watu kama hawa wanaweza kweli kushtakiwa au kulala selo duuh

ila jamaa hawa wanalala kweli keko au danganya toto? naomba mdau chunguza ilo kisha tujulishe tuaaminia blogu yako mzee.

Mdau Zenji.

Anonymous said...

HA TI MA YE

Anonymous said...

SIO CHANGA LA ..............WADAU???

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...