November 12, 2008

MLIMANI WATIMULIWA

Sijui nende wapi miye?
BAADA ya wanafunzi kugoma kuingia madarasani Uongozi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam sehemu ya Mlimani umewasimamisha masomo wanafunzi wote wa shahada ya kwanza kwa mudu usiojulikana. Hatua hiyo imechuliwa baada ya wanafunzi hao kukaidi agizo la Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Profesa Jumanne Maghembe la kuwataka warejee madarasani jana ifikapo saa moja asubuhi. Hata hivyo wanafunzi hao waliendelea na mgomo huo hali iliyolazimu uongozi wa chuo hicho kuchukua hatua za kuwasimamisha kwa lengo la kurejesha amani chuoni hapo. Wanafunzi hao wapatao 16,000 waliamuriwa kuondoka maeneo ya mlimani ifikapo saa 12 jioni. Polisi walitumika kuhakikisha wanafunzi hao wanaondoka maeneo hayo bila kufanya uharibifu wowote. Uamuzi huo umechukuliwa baada ya wanafunzi hao kukiuka sheria za chuo hicho kwa kutoingia darasani kwa siku tatu mfululizo kwa madai ya kupinga sera ya uchangiaji na kutaka Serikali iwapatie mkopo kwa asilimia 100.

No comments:

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...