BAADA ya wanafunzi kugoma kuingia madarasani Uongozi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam sehemu ya Mlimani umewasimamisha masomo wanafunzi wote wa shahada ya kwanza kwa mudu usiojulikana. Hatua hiyo imechuliwa baada ya wanafunzi hao kukaidi agizo la Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Profesa Jumanne Maghembe la kuwataka warejee madarasani jana ifikapo saa moja asubuhi. Hata hivyo wanafunzi hao waliendelea na mgomo huo hali iliyolazimu uongozi wa chuo hicho kuchukua hatua za kuwasimamisha kwa lengo la kurejesha amani chuoni hapo. Wanafunzi hao wapatao 16,000 waliamuriwa kuondoka maeneo ya mlimani ifikapo saa 12 jioni. Polisi walitumika kuhakikisha wanafunzi hao wanaondoka maeneo hayo bila kufanya uharibifu wowote. Uamuzi huo umechukuliwa baada ya wanafunzi hao kukiuka sheria za chuo hicho kwa kutoingia darasani kwa siku tatu mfululizo kwa madai ya kupinga sera ya uchangiaji na kutaka Serikali iwapatie mkopo kwa asilimia 100.
November 12, 2008
MLIMANI WATIMULIWA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
Nimekuta ubishi paala fulani tena kwa watu naweza sema ni waelewa kiasi fulani maana wameenda shule na wengine wako katika fani, ati ile ho...
-
WADAU NADHANI SI VIBAYA SIKU MOJA MOJA TUKAPANUA MAWAZO KIDOGO NDO NAMNA YA KUELIMISHANA KUPITIA NJIA HII. HIKI ni kijiji kipo hapa bo...
-
Mgonjwa wa saratani akipata huduma Ocean Road Cancer Insititute (ORCI) asubuhi leo hii baada ya kununuliwa kwa vifaa vilivyokuwa vimeibwa y...
-
Shibe inapoua kuliko njaa Obesity kills more people than hunger Most of the world's populations live in countries where overweight a...
-
LONDON (Dow Jones)--U.K. defense giant BAE Systems PLC (BA.LN) Tuesday was fined GBP500,000 for improper accounting in relation to the award...
-
On Tuesday, 7th July we witnessed the peak of the Saba Saba festivities. I never go to the Dar es Salaam International Trade Fair, these day...
-
HII NI HOSTEL YA CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI WANAPOISHI WATAALAMU WETU WA AFYA WA KESHO.
No comments:
Post a Comment