Wanasema picha yaongea maneno elfu moja, lakini kwa Picha hii nazani yaongea maneno milion au zaidi yaani kuliko ambavyo mtu angeweza kueleza, yasikitisha sana kwamba katikati ya tambo na mbwembwe nyingi za wanasiasa wetu, katikati ya RICHMOND NA EPA, katikati ya VIJISENT na MINALA YA BOT, pana wabongo kama hawa lukuki ambao wanaogelea ktk lindi la umasikini na maradhi,
YAWEZEKA MTOTO HUYU AMBAYE YAONESHA YU CHEKECHEA ANAJUKUMU LA KUMTUNZA NA KUMWANGALIA MAMA YAKE AMBAYE YU HOI KITANDANI, SIJUI HATA SENT YA KULA WAPI ANAIPATA MTOTO HUYU, HUKU NI KUZEEKA UNGALI MTOTO.
Asante mdau Yahya Charahani kwa picha hii. naomba utupe fulu diteili na anwani za familia hii kuna wadau wameonyesha nia ya kuisaidia.
July 16, 2008
PICHA INA MWANGWI MKUBWA !!
Wanasema picha yaongea maneno elfu moja, lakini kwa Picha hii nazani yaongea maneno milion au zaidi yaani kuliko ambavyo mtu angeweza kueleza, yasikitisha sana kwamba katikati ya tambo na mbwembwe nyingi za wanasiasa wetu, katikati ya RICHMOND NA EPA, katikati ya VIJISENT na MINALA YA BOT, pana wabongo kama hawa lukuki ambao wanaogelea ktk lindi la umasikini na maradhi,
YAWEZEKA MTOTO HUYU AMBAYE YAONESHA YU CHEKECHEA ANAJUKUMU LA KUMTUNZA NA KUMWANGALIA MAMA YAKE AMBAYE YU HOI KITANDANI, SIJUI HATA SENT YA KULA WAPI ANAIPATA MTOTO HUYU, HUKU NI KUZEEKA UNGALI MTOTO.
Asante mdau Yahya Charahani kwa picha hii. naomba utupe fulu diteili na anwani za familia hii kuna wadau wameonyesha nia ya kuisaidia.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
WADAU NADHANI SI VIBAYA SIKU MOJA MOJA TUKAPANUA MAWAZO KIDOGO NDO NAMNA YA KUELIMISHANA KUPITIA NJIA HII. HIKI ni kijiji kipo hapa bo...
-
Invitation Photography Areas/Maeneo Thursday 17 th June/7 pm/Goethe-Institut Goethe-Institut presents Areas/Maeneo a platform for friend...
-
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kivukoni-Kinondoni leo imeamua mazishi ya mwili wa Marehemu Paulo Goliama aliyefariki wiki iliyopita yafany...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
Mgonjwa wa saratani akipata huduma Ocean Road Cancer Insititute (ORCI) asubuhi leo hii baada ya kununuliwa kwa vifaa vilivyokuwa vimeibwa y...
-
Mineral occurrence in Tanzania by TMAA UONGEZAJI WA PATO LA MTANZANIA Mheshimiwa Spika, 46. Lengo la Dir...
-
Kina dada wengi hivi sasa imekuwa ni kawaida kwenye kila shughuri hasa za usiku kukuta wamevaa nguo fupi, wengi wanasema ni fashion...
-
Tarime — FELISTA Laurent (15) had not been admitted to hospital in her life, until November 4, this year, when she was attacked by his fath...
-
At least 32 people have been killed in multiple explosions after an accident at a munitions dump in Tanzania's commercial capital, Dar e...

No comments:
Post a Comment