July 5, 2008
MWL MWAKASEGE KUTOA SOMO UK
MKUTANO WA NENO LA MUNGU NA MWALIMU CHRISTOPHER
MWAKASEGE KUTOKA TANZANIA:
READING UK 08-10 /08/ 2008.
Jumuiya ya wakristo katika Uingereza na Ulaya inawakaribisha katika mkutano wa neno la Mungu utakokuwa ukiendeshwa na mtumishi wa Mungu Mwalimu Christopher Mwakasege kutoka Tanzania.Mwlm Mwakasege ni Mchumi na Mwalimu wa neno la Mungu ambaye mafundisho yake hayana mlengo wa aina moja tu.
Njoo ufaidike katika maeneo yote ya maisha.MATARAJIOWenye shida za kiroho, nafsi, mwili mnakaribishwa mpate majibu ya maswali yenu.Mafundisho ya namna ya kujikomboa kiuchumi kwa mujibu wa neno la Mungu yatafundishwaNyimbo za Injili kutoka Mwanamziki wa Injili Fanuel Sedekia kutoka ArushaTimu ya Injili na uimbaji kutoka Norway inatarajiwa kuwepo.
Huu utakuwa wakati wa baraka sana jitahidi usikose nafasi hii ya pekee na Mungu atakubariki.ANWANI YA UKUMBIRivermead Complex Leisure Centre,Richfield Avenue, readingBerkshire, RG1 8EQMikutano itakuwa inaanza asubuhi saa nne paka saa moja jioni kwa siku zote tatu.
MAELEZO ZAIDI:
Wasiliana na /Reading Lillian 07846700927,
Birmingham-07776358464 Jackson Kapama,
London 07817479845 Elias Mwema,
Milton Keynes, 07787357618, Jane maneno,
-Brighton,07950324330 Joyce Jacob.
Southampton 07717435287 Sekela Komba07944632826./ Rev, Emmanuel Chatawe-Mwenyekiti07983615387 /
Timothy Kyara-
Katibu mkuu.
KARIBUNI WOTE.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Nimekuta ubishi paala fulani tena kwa watu naweza sema ni waelewa kiasi fulani maana wameenda shule na wengine wako katika fani, ati ile ho...
-
Prof Aloysius Mwessa Hnonoli ni Mbongo wa kwanza kuwa Mkurugenzi wa Muhimbili na Mkuu wa Chuo kikuu cha Tiba. Mstaafu huyu jana alitu...
-
WADAU NADHANI SI VIBAYA SIKU MOJA MOJA TUKAPANUA MAWAZO KIDOGO NDO NAMNA YA KUELIMISHANA KUPITIA NJIA HII. HIKI ni kijiji kipo hapa bo...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
Mgonjwa wa saratani akipata huduma Ocean Road Cancer Insititute (ORCI) asubuhi leo hii baada ya kununuliwa kwa vifaa vilivyokuwa vimeibwa y...
-
Mineral occurrence in Tanzania by TMAA UONGEZAJI WA PATO LA MTANZANIA Mheshimiwa Spika, 46. Lengo la Dir...
-
Shibe inapoua kuliko njaa Obesity kills more people than hunger Most of the world's populations live in countries where overweight a...
-
Dr H Mwakyembe akishushwa toka ktk ndege ya kukodi na kupelekwa moja kwa moja MOI kwa Matibabu zaidi, Dr Mwakyembe alipata ajali ya gari m...
-
Ukumbi huko nyuma ya Minara miwili ukiwa ni wa mviringo. Eneoe kubwa la chai na ukaguzi pamoja na usajili kwa waalikwa. Sehemu za waa...
No comments:
Post a Comment