MKUTANO WA NENO LA MUNGU NA MWALIMU CHRISTOPHER
MWAKASEGE KUTOKA TANZANIA:
READING UK 08-10 /08/ 2008.
Jumuiya ya wakristo katika Uingereza na Ulaya inawakaribisha katika mkutano wa neno la Mungu utakokuwa ukiendeshwa na mtumishi wa Mungu Mwalimu Christopher Mwakasege kutoka Tanzania.Mwlm Mwakasege ni Mchumi na Mwalimu wa neno la Mungu ambaye mafundisho yake hayana mlengo wa aina moja tu.
Njoo ufaidike katika maeneo yote ya maisha.MATARAJIOWenye shida za kiroho, nafsi, mwili mnakaribishwa mpate majibu ya maswali yenu.Mafundisho ya namna ya kujikomboa kiuchumi kwa mujibu wa neno la Mungu yatafundishwaNyimbo za Injili kutoka Mwanamziki wa Injili Fanuel Sedekia kutoka ArushaTimu ya Injili na uimbaji kutoka Norway inatarajiwa kuwepo.
Huu utakuwa wakati wa baraka sana jitahidi usikose nafasi hii ya pekee na Mungu atakubariki.ANWANI YA UKUMBIRivermead Complex Leisure Centre,Richfield Avenue, readingBerkshire, RG1 8EQMikutano itakuwa inaanza asubuhi saa nne paka saa moja jioni kwa siku zote tatu.
MAELEZO ZAIDI:
Wasiliana na /Reading Lillian 07846700927,
Birmingham-07776358464 Jackson Kapama,
London 07817479845 Elias Mwema,
Milton Keynes, 07787357618, Jane maneno,
-Brighton,07950324330 Joyce Jacob.
Southampton 07717435287 Sekela Komba07944632826./ Rev, Emmanuel Chatawe-Mwenyekiti07983615387 /
Timothy Kyara-
Katibu mkuu.
KARIBUNI WOTE.
July 5, 2008
MWL MWAKASEGE KUTOA SOMO UK
MKUTANO WA NENO LA MUNGU NA MWALIMU CHRISTOPHER
MWAKASEGE KUTOKA TANZANIA:
READING UK 08-10 /08/ 2008.
Jumuiya ya wakristo katika Uingereza na Ulaya inawakaribisha katika mkutano wa neno la Mungu utakokuwa ukiendeshwa na mtumishi wa Mungu Mwalimu Christopher Mwakasege kutoka Tanzania.Mwlm Mwakasege ni Mchumi na Mwalimu wa neno la Mungu ambaye mafundisho yake hayana mlengo wa aina moja tu.
Njoo ufaidike katika maeneo yote ya maisha.MATARAJIOWenye shida za kiroho, nafsi, mwili mnakaribishwa mpate majibu ya maswali yenu.Mafundisho ya namna ya kujikomboa kiuchumi kwa mujibu wa neno la Mungu yatafundishwaNyimbo za Injili kutoka Mwanamziki wa Injili Fanuel Sedekia kutoka ArushaTimu ya Injili na uimbaji kutoka Norway inatarajiwa kuwepo.
Huu utakuwa wakati wa baraka sana jitahidi usikose nafasi hii ya pekee na Mungu atakubariki.ANWANI YA UKUMBIRivermead Complex Leisure Centre,Richfield Avenue, readingBerkshire, RG1 8EQMikutano itakuwa inaanza asubuhi saa nne paka saa moja jioni kwa siku zote tatu.
MAELEZO ZAIDI:
Wasiliana na /Reading Lillian 07846700927,
Birmingham-07776358464 Jackson Kapama,
London 07817479845 Elias Mwema,
Milton Keynes, 07787357618, Jane maneno,
-Brighton,07950324330 Joyce Jacob.
Southampton 07717435287 Sekela Komba07944632826./ Rev, Emmanuel Chatawe-Mwenyekiti07983615387 /
Timothy Kyara-
Katibu mkuu.
KARIBUNI WOTE.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
DEFINITION Colon cancer is cancer of the large intestine (colon), the lower part of your digestive system. Rectal cancer is cancer...
-
Want to know the secret how to become successful in Edmark business? This is the opportunity, come and hear the testimony from Tanza...
-
WINNERS Boulevard.: Biashara ya Masoko ya Mtandao : Fikiria kama ungekuwa walipwa kwa kila ushauri wa kutumia huduma ama bidhaa ya kampuni a...
-
Forever Multi Maca Maca, also known as Lepidium Meyenii, is an annual plant that is cultivated in the Peruvian central highla...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
From Tanzania all the way to South Africa, Norway, Netherlands, Oman, USA and the world people are following Bongo Pix, this is the joy of b...
-
Here are the TEN important things every Tanzanian should know about prostate cancer: About 1,250 Tanzanian men will probably ...
-
One of the most fascinating parts of my research is discovering who is becoming a millionaire today—becoming a millionaire seems to have ...
No comments:
Post a Comment