July 12, 2008
AMANDA, MPENI KURA KESHO NDO KESHO
Shindano la 57 la kumtafuta Miss Universe 2008 linatarajiwa kufikia tamati Jumapili hii tarehe 13 Julai huko Nha Trang,Khanh Hoa nchini Vietnam katika ukumbi wa Crown Convention Centre.
Kwa mujibu wa taarifa tulizonazo, shindano hilo litaonyesha moja kwa moja au ‘live” katika vituo mbalimbali vya televisheni ulimwenguni huku nchini Tanzania kituo cha TBC 1 kikifanya hivyo pia.
Majaji wa fainali hizo wametajwa kuwa ni Donald Trump Jr(mtoto wa bilionea Donald Trump ambaye pia ndio bosi mkuu wa Miss Universe), Mwanamitindo na mjasiriamali maarufu Roberto Cavalli,muigizaji na mrembo Nadine Velazquez(anaonekana katika show maarufu ya kituo cha televisheni cha NBC iitwayo My Name is Earl), TV Presenter na mshindi wa Miss Universe 2004 Jennifer Hawkins, mtia nakshi maarufu Louis Licari na mpambaji maarufu John Nguyen.Majaji hao watafanya kazi yao katika mavazi ya kuogelea(swimsuit), mavazi ya jioni(evening gowns) na pia ujibuji wa maswali.
MCs wa onyesho hilo watakuwa Jerry Springer na Mel B(kutoka kundi maarufu la zamani,Spice Girls).Burudani inatarajiwa kutolewa na Lady GaGa anayetamba na wimbo wake Just Dance.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
Shibe inapoua kuliko njaa Obesity kills more people than hunger Most of the world's populations live in countries where overweight a...
-
LONDON (Dow Jones)--U.K. defense giant BAE Systems PLC (BA.LN) Tuesday was fined GBP500,000 for improper accounting in relation to the award...
-
On Tuesday, 7th July we witnessed the peak of the Saba Saba festivities. I never go to the Dar es Salaam International Trade Fair, these day...
-
HII NI HOSTEL YA CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI WANAPOISHI WATAALAMU WETU WA AFYA WA KESHO.
-
The Himba are an ethnic group of about 20,000 to 50,000 people living in northern Namibia, in the Kunene region (formerly K...
-
WADAU NADHANI SI VIBAYA SIKU MOJA MOJA TUKAPANUA MAWAZO KIDOGO NDO NAMNA YA KUELIMISHANA KUPITIA NJIA HII. HIKI ni kijiji kipo hapa bo...
No comments:
Post a Comment