Shindano la 57 la kumtafuta Miss Universe 2008 linatarajiwa kufikia tamati Jumapili hii tarehe 13 Julai huko Nha Trang,Khanh Hoa nchini Vietnam katika ukumbi wa Crown Convention Centre.
Kwa mujibu wa taarifa tulizonazo, shindano hilo litaonyesha moja kwa moja au ‘live” katika vituo mbalimbali vya televisheni ulimwenguni huku nchini Tanzania kituo cha TBC 1 kikifanya hivyo pia.
Majaji wa fainali hizo wametajwa kuwa ni Donald Trump Jr(mtoto wa bilionea Donald Trump ambaye pia ndio bosi mkuu wa Miss Universe), Mwanamitindo na mjasiriamali maarufu Roberto Cavalli,muigizaji na mrembo Nadine Velazquez(anaonekana katika show maarufu ya kituo cha televisheni cha NBC iitwayo My Name is Earl), TV Presenter na mshindi wa Miss Universe 2004 Jennifer Hawkins, mtia nakshi maarufu Louis Licari na mpambaji maarufu John Nguyen.Majaji hao watafanya kazi yao katika mavazi ya kuogelea(swimsuit), mavazi ya jioni(evening gowns) na pia ujibuji wa maswali.
MCs wa onyesho hilo watakuwa Jerry Springer na Mel B(kutoka kundi maarufu la zamani,Spice Girls).Burudani inatarajiwa kutolewa na Lady GaGa anayetamba na wimbo wake Just Dance.
July 12, 2008
AMANDA, MPENI KURA KESHO NDO KESHO
Shindano la 57 la kumtafuta Miss Universe 2008 linatarajiwa kufikia tamati Jumapili hii tarehe 13 Julai huko Nha Trang,Khanh Hoa nchini Vietnam katika ukumbi wa Crown Convention Centre.
Kwa mujibu wa taarifa tulizonazo, shindano hilo litaonyesha moja kwa moja au ‘live” katika vituo mbalimbali vya televisheni ulimwenguni huku nchini Tanzania kituo cha TBC 1 kikifanya hivyo pia.
Majaji wa fainali hizo wametajwa kuwa ni Donald Trump Jr(mtoto wa bilionea Donald Trump ambaye pia ndio bosi mkuu wa Miss Universe), Mwanamitindo na mjasiriamali maarufu Roberto Cavalli,muigizaji na mrembo Nadine Velazquez(anaonekana katika show maarufu ya kituo cha televisheni cha NBC iitwayo My Name is Earl), TV Presenter na mshindi wa Miss Universe 2004 Jennifer Hawkins, mtia nakshi maarufu Louis Licari na mpambaji maarufu John Nguyen.Majaji hao watafanya kazi yao katika mavazi ya kuogelea(swimsuit), mavazi ya jioni(evening gowns) na pia ujibuji wa maswali.
MCs wa onyesho hilo watakuwa Jerry Springer na Mel B(kutoka kundi maarufu la zamani,Spice Girls).Burudani inatarajiwa kutolewa na Lady GaGa anayetamba na wimbo wake Just Dance.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
DEFINITION Colon cancer is cancer of the large intestine (colon), the lower part of your digestive system. Rectal cancer is cancer...
-
Want to know the secret how to become successful in Edmark business? This is the opportunity, come and hear the testimony from Tanza...
-
WINNERS Boulevard.: Biashara ya Masoko ya Mtandao : Fikiria kama ungekuwa walipwa kwa kila ushauri wa kutumia huduma ama bidhaa ya kampuni a...
-
Forever Multi Maca Maca, also known as Lepidium Meyenii, is an annual plant that is cultivated in the Peruvian central highla...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
From Tanzania all the way to South Africa, Norway, Netherlands, Oman, USA and the world people are following Bongo Pix, this is the joy of b...
-
Here are the TEN important things every Tanzanian should know about prostate cancer: About 1,250 Tanzanian men will probably ...
-
One of the most fascinating parts of my research is discovering who is becoming a millionaire today—becoming a millionaire seems to have ...

No comments:
Post a Comment