May 1, 2008

Uvumi mtupu!!!!

Kuna uvumi ulioenea mjini hapa kuwa mzee wa vijisenti kabwia sumu, taarifa za uhakika toka kwa familia yake zimekanusha kwa nguvu uvumi huu ambao haujajulikana chanzo chake na sababu zake.
hivyo wadau huu ni rumaz tu hakuna kitu ka hicho Mzee ni mzima wa afya na anaendelea na shughuri zake.

3 comments:

Anonymous said...

wabongo bwana kwa uzushi tu hawajambo kisa cha kumzulia baba wa watu kajiua ni nini jamani?

Anonymous said...

Hivi bongo pix ndo nini kuweka picha ya ivyo? mbona ka imechorwa vibaya vibaya?
tuwekee picha nzuri tafadhali la twakushtaki sasa ivi ala!!!!!!

Anonymous said...

Jamani mbona hii picha kama amenyeshewa mvua ya vuli?. Au ndio mambo ya vijisenti hayo?

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...