Kwa kifupi hayo ndo yalojiri ktk maandamano ya leo yaliyoandaliwa na umoja wa vyuo vya elimu ya juu nchini (TAHLISO) kulaani yaliyojiri nchini kenya baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka jana.
Dr Rwaitama aliwakilisha na kutoa tamko la UDASA pamoja na hisia zake mwenyewe kama mwana panaafricanist,
ambapo tamko la TAHLISO lilitolewa na Katibu wake Mtatiro.
Hiki ni kizazi kipya au damu changa ambayo haiko tayari kukaa kimya kinapoisi kuwa kuna dhulma pahala fulani asa ktk Africa mashariki, tunao pia damu changa kabisa kama salome (6) ambaye naye hayuko nyuma.
No comments:
Post a Comment