JK amtembelea Saeed Kubanea Hospital Muhimbili, UMOJA WA VYAMA vya waandishi pamoja na wamiliki watoa tamko kali kupinga kupigwa na kumwagiwa tindikali kwa Mhariri huyo pamoja na Tegambwage, inadaiwa kuwa serikali ilisshapeleka malalamiko kwa baraza la habari MCT juu ya gazeti la MWANAHALISI na Wahariri hao wawili ndo waliolalamikiwa na serikali juu ya habari na makala zao.
No comments:
Post a Comment