Majaaliwa ya Driver wa Naibu Waziri Usalama wa Raia (POLICE) Tumaini Mbaga bado kujulikana karibia siku sita sasa toka kutoweka na gari katika mazingira ya kutatanisha huku Kimara Temboni na hatimaye Gari kupatikana likiwa limetelekezwa CCM Tabata,
Familia ya Driver huyo, baba wa watoto wenne watatu kike na kiume mmoja imebaki kuomba Mungu usiku na mchana ili apatikane kama si mzima basi hata mwili wake tu uonekane, hakika hiki ni kipindi kigumu sana kwa familia hii bila kujua nini kimeteokea kwa Mkuu wa familia.
Kwani kwa kupatikana kwa gari peke yake na ambalo yasemekana lilitelekezwa pale CCM Tabata siku moja tu baada ya kutoweka pasipo julikana wapi dereva alipo kiaacha uwezekano wa kumpata dereva huyo akiwa hai kuwa mdogo sana ni Muujiza wa MWENYEZI MUNGU TU unaoweza kufanya vinginevyo.
No comments:
Post a Comment